Ray Vicent Kigosi akizungumzia mpango wa kutumia maji kumuingizia mkwanja RAY KIGOSI Ray Vicent Kigosi akizungumzia mpango wa kutumia maji kumuingizia mkwanja baada ya kumake headline kibao kwenye mitandao ‘Nimepata mawazo mengi kutoka kwa watu, naweza kufanya dokumentari ya nini umuhimu wa maji, nikawaelimisha watanzania kuhusu umuhimu wa maji na nikapata pesa‘ ;-Ray Kigosi Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
0 comments:
Post a Comment