NUH MZIWANDA |
‘Ni
kweli nilikuwa naishi kwa mwanamke wangu, lakini
alikuwa hataki ninunue
chochote, wazazi na ndugu zangu walinihimiza nijitambue kuwa mimi ni
mwanaume lakini sikuzingatia‘ ;-Nuh Mziwanda
‘namuomba
msamaha mama yangu na pia kwa wale wote waliokuwa wananipa ushauri ,
nilijua nimepata kumbe nimepatikana na sasa mimi nimekuwa Nuh mpya‘ ;-Nuh Mziwanda
0 comments:
Post a Comment