Diamond Platnumz kazungumzia vitu
vilivyomvutia Director Godfather alipotua bongo “Ugomvi wangu mimi na Godfather ilikuwa ni yeye kutaka nishoot video zangu Tanzania, sasa mimi
nikawa simuelewi, alivyokuja bongo nikapitanaye Kigamboni.. yani
kilakitu alikuwa akikiona anashangaa mazingira yalivyo mazuri”
0 comments:
Post a Comment