Monday, 22 February 2016

Magufuli Atinga Kivukoni kwa Kushtukiza, Akuta Ofisi zipo Wazi

Rais mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mh ndg Dr. John Pombe Magufuli kavamia hivi punde katika ofisi za vivuko Magogoni na kukuta ofisi zote zipo
wazi hazina watu zaidi ya baharia mmoja tu aliyekutwa akifanya usafi na kuhojiwa.

Kwa taarifa zaidi usikose kuangalia taarifa ya habari.

***Mwaka huu ni kazi tu ***

0 comments:

Post a Comment