Thursday, 25 February 2016

Licha ya kuwa ugenini, Man City wameifunga Dynamo Kyiv


3186874100000578-3462596-image-a-41_1456347199595
Kwa upande wa mashabiki wa Ligi Kuu soka Uingereza walikuwa na shauku ya kutaka kuona mchezo kati ya Dynamo Kyiv dhidi ya Man City, kwa mchezo huo wa kwanza wa hatua ya makundi Man City walifanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 3-1, licha ya kuwa walikuwa ugenini.

0 comments:

Post a Comment