Saturday, 5 March 2016

Utumbuaji Majipu:Inashangaza Mpaka Sasa Alietumia Document Fake Kuzuia Uchaguzi wa Meya Dar Hajasimamishwa Kazi

Inashangaza sana hii serikali ambayo tunaambiwa imedhamiria kurejesha nidhamu ya watumishi wa umma mpaka sasa haijamsimamisha kazi mtumishi alietumia document isiyostahili(fake) ya Mahakama kuzuia uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar-es-salaam ili nae apishe uchunguzi kama wengine.

Wacha tusubiri lakini nimekumbuka msemo wa Kiswahili usemao: "njia ya muongo ni fupi."

0 comments:

Post a Comment