Tuesday, 22 March 2016

TUHUMA za Rushwa Kamati ya Bunge..Mbunge Zitto Kabwe Amejiuzulu Ujumbe wa Kamati ya Huduma ya Jamii


TUHUMA ZA RUSHWA KAMATI ZA BUNGE: Mbunge Zitto amejiuzulu ujumbe wa Kamati ya Huduma za Jamii.

Amwandikia Spika kumuomba achunguze na achukue hatua kali dhidi ya yeyote atakayekutwa kuhusika na vitendo vya rushwa.

0 comments:

Post a Comment