Friday, 26 February 2016

MBUNGE WA CCM CHALINZE LEO KUWASHANGAZA VIJANA WALIOMALIZA VYUO VIKUU SOMA ALICHOSEMA LIVE!!


"KUZALIWA MASKINI SIO ADHABU YA KIFO
Siku ya Ijumaa, Tarehe 26 February 2016 Saa Tatu Asubuhi kwenye ukumbi wa mikutano Golden Jubilee ikiwa ni
sehemu ya sherehe zakutimia miaka 3 ya Blogu ya Wananchi, nitawasimulia vijana na Wageni Waalikwa historia ya Maisha yangu na Mafanikio Maishani Mwangu; Nimetoka wapi,Niko wapi na Ninakwenda wapi?
Kuzaliwa Maskini sio Adhabu ya Kifo ndiyo Ujumbe mzima katika Mazungumzo yetu.Karibuni sana tubadilishane Mawazo na ufahamu.‪#‎kuzaliwaMaskiniSioAdhabuYa‬ Kifo."


0 comments:

Post a Comment