Watu 4 Wafariki kwa Kufukiwa na Kifusi Leo Kawe – Dar Watu wanne wamepoteza maisha na wengine watano wajeruhiwa baada ya kufukiwa na kifusi asubuhi hii eneo la Ukwamani, Kawe – Dar. Taarifa za awali zinasema waliofariki ni mfanyakazi wa ndani, watoto wawili na baba mwenye nyumba. Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
0 comments:
Post a Comment