Tuesday, 12 April 2016

Ratiba ya Mechi za leo na Kesho UEFA [+VIDEO]

32E9664600000578-3534837-image-a-1_1460410379406
Wachezaji wa Man City.
Mechi za Marudiano za Robo Fainali ya michuano ya Uefa zinaendelea tena leo Jumanne na jumatano kwa michezo minne, ambapo jumanne kutachezwa mechi mbili .
Mechi za leo Jumanne
Manchester City vs  Paris St-Germain Uwanja wa  Etihad
Bernabeu Real Madrid Vs VfL Wolf-sburg Uwanja wa Santiago 
Siku ya Jumatano Benfica watawakaribisha Bayern Munich ,na Atletico Madrid watakuwa wenyeji wa Barcelona.


0 comments:

Post a Comment