Friday, 11 March 2016

Jokate: Nimemchoka Kiba!

IMG-20151118-WA0010
Mwanamitindo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.
STORI: Waandishi Wetu
Yamekuwa yakitokea mambo mengi kwenye uhusiano wa mastaa wawili Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Ali Salehe Kiba ‘Ali Kiba’, mara wamwagane, mara wazichape lakini safari hii inaonekana mwisho umefika, Ijumaa lina kitu exclusive.
Hatua hiyo inakuja kufuatia kuwepo kwa taarifa kuwa, Jokate amefunguka laivu kumchoka jamaa yake huyo akidai si mwanaume anayeweza kumfikisha pale anapopataka.

0 comments:

Post a Comment