“Kiukweli mchezo umevunjika lakini haya mashindano yanaendeshwa kwa kanuni na taratibu ila sisi tunasubiri ripoti ya muamuzi na kamisaa wa mchezo ili tuweze kufanya maamuzi” Alisema Jemedali Said
Kauli ya Kwanza ya Mkurugenzi wa TFF Baada ya Mchezo wa Yanga na Coastal Union Kuvunjika Jana...
Baada ya mchezo huo kuvunjika uliyokuwa unarushwa Live kupitia Azam Tv,
ripota wa Azam Tv alifanya mahojiano mafupi ya Live kutoka katika uwanja
wa Mkwakwani Tanga na kaimu mkurugenzi wa mashindano wa TFF Jemedali
Said ilikujua mambo yatakuwaje mchezo utarudiwa au inakuwaje?

0 comments:
Post a Comment