
Msemaji wa Timu ya Yanga amefunguka kuhusu Rais Magufuli mara tu baada ya kutengua Ukuu wa Mkoa wa Anne Kilango huko Shinyanga....
Ameandika haya katika mtandao wake:
"Huyu ndie Rais ambae Mungu amemsisha katika taifa la Tanzania, Africa na Dunia na kupitia yeye Tanzania itapona, Africa itapona na Dunia itapona, tunakupenda rais wetu"
0 comments:
Post a Comment