Thursday, 14 April 2016

Atletico Madrid Yaivua Ubingwa wa UEFA Barcelona


Atletico-Madrid-v-Barcelona-7
Antoine Griezmann wa Atletico akifunga goli la kwanza
Atletico-Madrid-v-Barcelona
Mpira uliopigwa na Antoine Griezmann kwa kichwa ukiingia nyavuni.Atletico-Madrid-v-Barcelonadffff
Antoine Griezmann akishangilia gori
Atletico-Madrid-v-Barcelonamm Lionel Messi na Neymar wakiduwaa baada ya kupigwa bao.
Atletico-Madrid-v-Barcelona-2
Luis Suarez baada kukosa gori
Atletico-Madrid-v-Barcelona-5ss
Griezmann akipiga shuti.
Atletico-Madrid-v-Barcelona-9dd
Kocha Atletico Madrid, Diego Simeone akitoa mwongozo kwa wachezaji wake.Atletico-Madrid-v-Barcelona jjjjAntoine Griezmann akifunga gori la pili.
Atletico-Madrid-v-Barcelonaddd
Antoine Griezmann akishangilia gori la pili baada ya kuifunga Barcelona
Atletico-Madrid-v-Barcelonassd
Yannick Ferreira-Carrasco akichuana na Gerard Pique.
dddd
Lionel Messi akipambana na Filipe Luis kuwania mpira
ff
Neymar akiangushwa chini na mchezaji wa Atletico Madrid
Barcelonas-Argentinian-forward-Lionel-Messi-looks-dejected
Lionel-Messi- akishangaa baada ya kufungwa na Atletico Madrid.
JANA usiku hali ilikuwa ngumu kwa klabu ya soka ya Hispania, Barcelona baada ya kukubali kichapo cha bao 2-0 kutoka kwa majirani zao Atletico Madrid na kutolewa kabisa kwenye michezo ya fainali ya Kombe la UEFA.
Antoine Griezmann ndiye aliyeipa timu yake ushindi wa mabao mawili na kuiwezesha Atletico Madrid kufanikiwa kuvuka na kucheza nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa, pili timu hiyo imeivua ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Barcelona.
Katika mechi ya kwanza ikiwa nyumbani, Barcelona ilishinda kwa mabao 2-1. Hivyo kwa ushindi wa jana Atletico ikiwa nyumbani, maana yake imeing’oa Barcelona kwa jumla ya mabao 3-2.

0 comments:

Post a Comment