Tuesday, 5 April 2016

Majambazi Sugu Yakuiba Magari Aina ya Noah Yadakwa DAR...Kama Ulishawahi Ibiwa Gari Soma Hapa

Wezi wa Magari wamedakwa waligeuza nyumba yao maeneo ya Boko/Bunju Yard ya Magari ya Wizi , Kama kuna ndugu jamaa au Rafiki aliibiwa Noah mpe Taarifa afike Oysterbay police ‪#‎UlinziShirikishi‬..

0 comments:

Post a Comment