Tundu Lissu Afunguka.. 'Hakuna Mtu Anayetaka Kumjaribu Rais Magufuli, Baada ya Kutoka mahabusu kwa dhamani Tundu ameongea haya mbele ya waandishi wa Habari:"Hakuna mtu anataka kumjaribu Rais Magufuli, hakuna anayetaka kukamatwa, mahabusu sio pazuri, niulizeni mimi." - Tundu LissuToa maoni yako Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
0 comments:
Post a Comment