Thursday, 31 March 2016

Video ikionyesha Wabunge watatu wa CCM walivyofikishwa Mahakamani Dsm leo, TAKUKURU yaongea kwa ufupi

March 31 2016 Taasisi ya kupambana na Rushwa TAKUKURU iliwafikisha Mahakamani Kisutu Dar es salaam Wabunge wa CCM  Victor Mwambalaswa wa Lupa, Kangi Lugolawa Mwibara na Sadiq Murad wa Mvomero kwa kosa la kuomba rushwa ya milioni 30hii hapa chini ni video ikiwaonyesha wakiwa Mahakamani…

0 comments:

Post a Comment